MRADI WA BWAWA LA MAJI MEMBE – CHAMWINO, UTAKAOGHARIMU TSH. 11.965 Bln. KUANZA HIVI KARIBUNI

Ña Mwandishi Wetu Chamwino Akikabidhi mradi wa ujenzi wa bwawa la maji  la Membe, mradi utakaogharimu kiasi cha Tsh. Bilioni 11.965  Mkuu wa Wilaya ya Chamwino  Gift Msuya amesema, mara bwawa hili litakapokamilika litawezasha umwagiliaji wa hekari 8000.Bwawa litakuwa na maji kwa mwaka mzima.Msuya, ametoa shukrani za dhati  kwa RAIS SAMIA SULUH HASSAN  Kwa kuongeza